Narudisha by Gloria Muliro-Lyrics

Image result for Gloria muliro Transparent images
Abudiwa bwana,tukuka bwana
heshimika bwana,tukuka milele
wewe ni mungu hakuna kama wewe
bwana ,unayotenda hakuna mwingine
awezaye tenda,
Unarudishia watu miaka yao,waliopoteza
unarudishia watu miaka yao iliyoliwa na nzige
ulimrudishia ayubu  miaka yote aliopoteza
mali yake watoto wote bwana ulirudisha
tena mara dufu,
Bwana ulirudisha,nami najua nitarudishiwa
miaka yangu nitarudishiwa,
iliyoliwa na nzige,nitarudisha
eeeeieee miaka yangu,
iliyoliwa na nzige,

CHORUS

Narudisha narudisha
miaka yangu,iliyoliwa na nzige,
narudisha kwa jina la yesu
miaka yangu,iliyoliwa na nzige,
narudisha kwa jina la yesu

verse 2
Nzige wamekula amani ya wengi
nzige wameharibu afya ya wengi mno
angalia imebaki mifupa mikavu
tazama imebaki mifupa mikavu
lakini kuna tumaini bwana atarudisha,
amani itarudishwa,afya itarudishwa
biashara itarudishwa,furaha inarudishwa
waliopakwa matope,bwana anasafisha
walioshushwa chini,bwana anainua
ata mti ukikatwa,utachipuka tena
waliopoteza maono yao,jipe moyo
bwana anarudisha,kwa jina la yesu
CHORUS

Narudisha narudisha
miaka yangu,iliyoliwa na nzige,
narudisha kwa jina la yesu
miaka yangu,iliyoliwa na nzige,
narudisha kwa jina la yesu

                           
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comentários:

Post a Comment

 
Copyright © 2013. WACTH DRIVE - All Rights Reserved
Template Created by ThemeXpose